News Bulletin ni Jukwaa la Maafisa Wanafunzi wanohudhuria Kozi ya Ukamanda na Unadhimu kutoa mawazo yao kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama, ambalo hutolewa kila mwezi. wanafunzi huandika Makala na kuziwasilisha kwa Wanadhimu Elekezi.
Chuo cha Ukamanda na Unadhimu
Post Office Box 7205
ARUSHA, Tanzania
info@cscduluti.mil.tz
+255 27 2970130
Copyright © 2016 Chuo cha Ukamanda na Unadhimu . Haki zote zimehifadhiwa.